UA-45153891-1

Saturday, March 8, 2014

OPRAH ALIVYOWAKARIBISHA MAMA NA KAKA YAKE LUPITA KWA AJILI YA CHAKULA CHA MCHANA


Kama ilivyokuwa kwa mastaa wengi wa nchini Marekani na sehemu mbalimbali duniani kumpongeza muigizaji wa nchini Kenya Lupita Nyong’o ambaye alijinyakulia moja ya tuzo za Oscar,

RIHANNA NA LUPITA NYONG’O WAKIWA PAMOJA KWENYE ‘SHOW’ YA MIU MIU NDANI YA PARIS

Rihanna na Lupita Nyong’o walikaa pamoja mbele katika onyesho hilo la  Miu Mui  katikati ya wiki hii  jijini Paris . Picha zaidi.

CHRISTY WALTON :MWANAMKE WA KWANZA KWA UTAJIRI DUNIANI

CHRISTY WALTON wa nchini Marekani, anaungana na wanawake wengine duniani kote kuazimisha siku ya wanawake duniani akiwa ndiye tajiri wa kwanza duniani mpaka sasa mwaka 2014. Kwa mujibu wa  jarida na mtandao maarufu wa Forbes, Christy ndiye anayeongoza kwa wanawake na kwa  jinsia zote anachukua nafasi ya 9.

Thursday, March 6, 2014

ROSTAM AZIZI ATANGAZWA BILIONEA MPYA MWAFRIKA KWENYE FORBES

Rostam Azizi
Kabla ya hapo, mara ya mwisho tulimfahamu kama mmoja kati ya  matajiri wakubwa barani Afrika na tajiri wa kwanza nchini Tanzania lakini hakuwa bilionea. Sasa anabaki katika orodha hiyo lakini pia akiwa tayari ni bilionea.

Rostam Azizi amekuwa mtanzania wa kwanza kutangazwa na Jarida la Forbes kama bilionea mpya kutoka Afrika. Rostam ambaye ametangazwa kwenye orodha iliyotoka mwaka  huu 2014 ndani ya mwezi  Machi, anamiliki asilimia 35 ya hisa za kampuni ya simu ya  ‘Vodacom Tanzania’, mtandao wa simu wenye wateja zaidi ya milioni 10, pia anamiliki kampuni ya madini ‘Caspian Mining’ inayotoa huduma kwa makampuni makubwa kama  BHP Billiton and Barrick Gold. Kampuni yake ya ‘Caspian Mining’ pia inamiliki vitaru  vya uchimbaji wa madini ya Dhahabu, Shaba na Chuma nchini Tanzania.

HEBU SOMA KIDOGO HIZI 'TWEETS' ZA MPOKI 'MWARABU WA DUBAI'

NUKUU YA FARAJA NYALANDU KUTOKA KWA MAMA SALMA KIKWETE

Ikiwa ni siku mbili tu zimebaki kufikia siku ya wanawake duniani ambayo ni Machi 8, Miss Tanzania 2004 ambaye pia ni mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu, amemnukuu 'First Lady' wa Tanzania Mama Salma Kikwete kwa kuandika hivi kwenye akaunti yake ya Twitter:

SEMADAT, WAWILI KWA PICHA: "WEMA SEPETU NA AUNT EZEKIEL"


ALAMA 10 ZA KUKUONYESHA KWAMBA HUPENDI KUPATA MAFANIKIO



Si kweli kwamba kuna mtu ambaye hapendi kupata mafanikio,  ila ukiona alama hizi kumi kwako basi ujue unatakiwa kuwa makini.

LUPITA NYONG'O ALIVYOTUPIA INSTAGRAM BAADA KUPATA TUZO


Ni picha iliyozungumziwa sana kwenye mitandao hasa ya nchini Kenya. Lupita aliweka picha hiyo na kuandika yafuatayo: