.
Saturday, March 8, 2014
OPRAH ALIVYOWAKARIBISHA MAMA NA KAKA YAKE LUPITA KWA AJILI YA CHAKULA CHA MCHANA
Kama ilivyokuwa kwa mastaa wengi wa nchini Marekani na sehemu mbalimbali duniani kumpongeza muigizaji wa nchini Kenya Lupita Nyong’o ambaye alijinyakulia moja ya tuzo za Oscar,
RIHANNA NA LUPITA NYONG’O WAKIWA PAMOJA KWENYE ‘SHOW’ YA MIU MIU NDANI YA PARIS
Rihanna na Lupita Nyong’o walikaa pamoja mbele katika onyesho hilo la Miu Mui katikati ya wiki hii jijini Paris . Picha zaidi.
CHRISTY WALTON :MWANAMKE WA KWANZA KWA UTAJIRI DUNIANI
CHRISTY WALTON wa nchini Marekani, anaungana na wanawake wengine duniani kote kuazimisha siku ya wanawake duniani akiwa ndiye tajiri wa kwanza duniani mpaka sasa mwaka 2014. Kwa mujibu wa jarida na mtandao maarufu wa Forbes, Christy ndiye anayeongoza kwa wanawake na kwa jinsia zote anachukua nafasi ya 9.
Thursday, March 6, 2014
ROSTAM AZIZI ATANGAZWA BILIONEA MPYA MWAFRIKA KWENYE FORBES
Rostam Azizi
Kabla ya hapo, mara ya mwisho tulimfahamu kama mmoja kati ya matajiri wakubwa barani Afrika na tajiri wa kwanza nchini Tanzania lakini hakuwa bilionea. Sasa anabaki katika orodha hiyo lakini pia akiwa tayari ni bilionea.
Rostam Azizi amekuwa mtanzania wa kwanza kutangazwa na Jarida la Forbes kama bilionea mpya kutoka Afrika. Rostam ambaye ametangazwa kwenye orodha iliyotoka mwaka huu 2014 ndani ya mwezi Machi, anamiliki asilimia 35 ya hisa za kampuni ya simu ya ‘Vodacom Tanzania’, mtandao wa simu wenye wateja zaidi ya milioni 10, pia anamiliki kampuni ya madini ‘Caspian Mining’ inayotoa huduma kwa makampuni makubwa kama BHP Billiton and Barrick Gold. Kampuni yake ya ‘Caspian Mining’ pia inamiliki vitaru vya uchimbaji wa madini ya Dhahabu, Shaba na Chuma nchini Tanzania.
Rostam Azizi amekuwa mtanzania wa kwanza kutangazwa na Jarida la Forbes kama bilionea mpya kutoka Afrika. Rostam ambaye ametangazwa kwenye orodha iliyotoka mwaka huu 2014 ndani ya mwezi Machi, anamiliki asilimia 35 ya hisa za kampuni ya simu ya ‘Vodacom Tanzania’, mtandao wa simu wenye wateja zaidi ya milioni 10, pia anamiliki kampuni ya madini ‘Caspian Mining’ inayotoa huduma kwa makampuni makubwa kama BHP Billiton and Barrick Gold. Kampuni yake ya ‘Caspian Mining’ pia inamiliki vitaru vya uchimbaji wa madini ya Dhahabu, Shaba na Chuma nchini Tanzania.
NUKUU YA FARAJA NYALANDU KUTOKA KWA MAMA SALMA KIKWETE
Ikiwa ni siku mbili tu zimebaki kufikia siku ya wanawake duniani ambayo ni Machi 8, Miss Tanzania 2004 ambaye pia ni mke wa Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu, amemnukuu 'First Lady' wa Tanzania Mama Salma Kikwete kwa kuandika hivi kwenye akaunti yake ya Twitter:
ALAMA 10 ZA KUKUONYESHA KWAMBA HUPENDI KUPATA MAFANIKIO
Si kweli kwamba kuna mtu ambaye hapendi kupata mafanikio, ila ukiona alama hizi kumi kwako basi ujue unatakiwa kuwa makini.
LUPITA NYONG'O ALIVYOTUPIA INSTAGRAM BAADA KUPATA TUZO
Ni picha iliyozungumziwa sana kwenye mitandao hasa ya nchini Kenya. Lupita aliweka picha hiyo na kuandika yafuatayo:
Subscribe to:
Posts (Atom)









