UA-45153891-1

Thursday, December 6, 2012

ALICHOKIANDIKA NONINI KUHUSU PRODUZA P FUNK MAJANI NA PICHA YA MAJANI AMBAYO NONINI AMEIWEKA KWENYE WALL YAKE


Hiyo ni picha ambayo msanii kutoka Kenya Nonini ambaye pia ni mtangazaji alitupia kwenye Wall yake asubuhi,akaambatanisha na ujumbe huuu:
"Producer na mmiliki wa Bongo Records, P.Funk 'Majani',Hakuna msani wa Bongo hajafanya kazi na P- funk pande ya hip hop….Kutoka Kina Proffesor,FidQ,Ngwea na Jaymoe Kimya Kimya....(Huyu ni Daktari Musyoka Wao)"

No comments:

Post a Comment