UA-45153891-1

Monday, December 10, 2012

RAY C AMEPONA: LEO AMEPATA NAFASI YA KUMTEMBELEA RAIS JAKAYA KIKWETE IKULU JIJINI DAR


Mwanamuziki wa Bongo Fleva maarufu kama Ray C siku ya leo amemtembelea Rais Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam na kumshukuru kwa msaada wa matibabu kipindi alipokuwa mgonjwa.
Kwa upande wa mama mzazi wa Ray C amemshukuru sana Raisi Kikwete kwa kuokoa maisha ya mwanaye.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Ray C kushoto ni Mama yake mzazi Ray C Bibi Margareth Mtweve na kulia ni Sarah Mtwere Dada yake Ray C.
Habari kutoka Dj fetty blog 
 

No comments:

Post a Comment