UA-45153891-1

Tuesday, April 1, 2014

AGNES GERALD 'MASOGANGE' KUSHIRIKI VIDEO MPYA YA 50 CENT NCHINI MAREKANI


Muigizaji maarufu wa video za muziki 'video vixen' wa hapa Tanzania, Agnes Gerald 'Masogange' ataondoka kwenda nchini Marekani kwa ajili ya kushiriki kwenye video mpya ya mwanamuziki mahiri wa Hip hop nchini Marekani '50 Cent'. Mwanadada huyo ambaye amefanya video za wanamuziki kadhaa wa hapa nchini ikiwa pamoja na za nyimbo kama 'Masogange' wa Belle 9 na 'Nangoja ageuke' wa Mwana FA, ameitwa nchini Marekani kwa ajili ya shughuri hiyo baada ya kuonekana kupitia mtandao wa kijamii wa Youtube kwenye moja ya video za muziki wa Bongo Flava.

Agnes Gerald katika picha zaidi:




2 comments: