UA-45153891-1

Sunday, May 12, 2013

KILICHOJIRI HUKO DODOMA KWENYE SEMINA YA TWENDE ZETU YA CLOUDS MEDIA GROUP

Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds FM Bw. Ruge Mutahaba akizungumza katika semina hiyo .
Mh. Zitto Kabwe akiingia katika ukumbi wa mikutano wa African Dream mjini Dodoma.
Mtoa mada Patrick Ngowi akiingia kwenye ukumbi wa mkutano
Msanii Mrisho Mpoto ambaye pia ametoa mada katika semina hiyo
 Mtoa mada Zeno Ngowi akizungumza na wasanii katika semina hiyo.
 Millad Ayo akizungumza kulia ni Dina Mario na Zamaradi Ntetema
 Mkubwa Fella kutoka TMK akizungumza katika semina hiyo
 Anold Kayanda akitoa mawazo yake.
Dj fetty 
Gerlad Hando 
Khamis Mandi B12 akichangia Mada 
DJ Elly katikati Godzilla kushoto na Izo Busness wakiwa katika semina hiyo.
 Afande Sele katikati na rafiki yake wakiwa na Shilole
Benny Kinyaiya akizungumza katika semina hiyo kulia ni Babu Tale na kushoto ni Said Bonge.
 Shafii Dauda na Diva wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika semina hiyo
 Ibrahim Masoud na washiriki wengine wakiwa katika semina hiyo

No comments:

Post a Comment