UA-45153891-1

Friday, June 14, 2013

DIAMOND AKIZUNGUMZIA MIZUKA ILIYOMFANYA AMVUTIE SIMU CHEGE ILI WAENDE KUREKODI WIMBO KWA TUDD THOMAS USIKU WA KUAMKIA MEI, 29, 2013

 

Usiku wa Jana mizuka ilinipanda sana sana kiasi kwamba nikaamua
kumvutia simu mwanangu
Chege Chigunda mtoto wa Mama Said aibuke twende studio kutengeneza
 mkono mzuri ambao ni
Idea ilikuwepo kichwani mwangu kwa muda......Tukakutana na kuamua
 kupika mahakuli
mazuri yaende saawia kwa mashabiki zangu na kwa ujumla.......
Chini ya Producer Tudd Thomas akisimamia kwa
 umakini zaidi mipango yote
Iende kikamilifu...

Zifuatazo ni picha  kadhaa nikiwa na Mwanangu wa
Nguvu Chege Chigunda....
Tukifanya mambo studio......
With Tudd Thomas


Tukiweka mambo sawa...Nini kifanyike kuleta
 radha Muziki Mzuri....

With Tudd Thomas & Chege
With Qboy Mnyama akinifahamisha kitu kiufasaha zaidi.....

Nikiwa na wasafi Photographer goes by the
name Kisula......
akisikiliza demo baada ya kumaliza kufanya
Nusu ya nyimbo hii.....

Ilikuwa mida ya alfajiri kabisa tukitoka studio tukiwa tumefanya
 nusu ya nyimbo....
si unajua vitu vizuri avihitaji haraka.....Inshallah siku nyingine
tutamalizia mahakuli
haya......
Pitia Blog Yako ya Kijanja This Is Diamond kupata
updates zote kuhusu Ent.....


Habari kutoka: www.thisisdiamond.com 

No comments:

Post a Comment