UA-45153891-1

Friday, June 7, 2013

MAZISHI YA NGWEA YAKAMILIKA MENEO YA KIHONDA MKOANI MOOGORO

M2TheP akimuaga mshikaji wake wa karibu, marehem Albert Mangwea, katika viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro
 
 Maelfu ya wakazi wa Morogoro wakiwa katika foleni kumuaga marehem Albert Mangwea
  
Dada alieanguka na kuzimia akichukuliwa na watu wa msalaba mwekundu

 

Watu waliokusanyika kumlaza Ngwea ndani ya nyumba yake ya milele


  Albert Mangwea, amefikishwa katika nyumba yake ya milele, katika makaburi ya Kihonda mkoani Morogoro, pembeni ya kaburi alilozikwa marehem baba yaje mzazi.
 
Habari kutoka:  djfetty.blogspot.com

 



 



No comments:

Post a Comment