UA-45153891-1

Wednesday, November 13, 2013

GUMZO LA REMIX YA DIAMOND NA DAVIDO MITANDAONI

Mitandao mbali mbali zikiwemo Tovuti na Blogs za Afrika Mashariki, zinazungumzia balaa la Remix ya wimbo wa "Number One" inayofanywa na Diamond wa nchini Tanzania na Davido wa nchini Nigeria ambayo video yake inapikwa nchini Nigeria.
"Let me just say that you couldn't think of more ways that these two artists are alike. For starters, they both have radio hits, they both shoot expensive videos and both have a knack of blowing money (which they both have in plenty) for fun........................."
Hii ni kutoka www.homeboyzradio.co.ke ya nchini Kenya


"Diamond Platinumz tayari ameshafika nchini Nigeria kwa ajili ya kazi ya kimuziki pamoja na wasanii nchini humo ambapo baada ya kufanya remix ya My Number One na Davido, kazi inaendelea na sasa amewafata hukohuko kwao Nigeria".
Hii ni kutoka millardayo.com ya nchini Tanzania


"....While Diamond is arguably the highest riding artiste in East Africa, Davido is believed to be the fastest rising singer in Nigeria and the new union could just create a fresh showbiz force".
Hii ni www.standardmedia.co.ke ya nchini Kenya.

 

 East African superstar singer from Tanzania Diamond Platinumz is in Nigeria to work with Davido and Iyanya who were in Tanzania recently for Fiesta. After a collabo  with the two Nigerians Diamond will make two videos with Davido and Iyanya and his tour also aims at making music network with Nigerian artists.
Hii ni kutoka swahiliworldplanet.blogspot.com ya nchini Tanzania

No comments:

Post a Comment