UA-45153891-1

Friday, November 22, 2013

MR MAY "D" AONYESHA ANAVYOISHI KUPITIA INSTARGRAM


Mr May D

Mwanamuziki aliyekalia 'VERSE' ya mwisho kwenye wimbo wa "CHOP MY MONEY" ambao P-square walimshirikisha yeye na Akon, Mr MayD a.k.a 'Sure Boy' ameandika kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kwamba "Hivi ndivyo  ninavyoishi", na kuweka picha zinazoonyesha sehemu mbalimbali za ndani ya nyumba yake na nje. Katika picha moja ameonekana akiwa pembeni mwa gari dogo la kifahari.


No comments:

Post a Comment