UA-45153891-1

Friday, November 1, 2013

HARUSI YA DENIS MWANGUO NA KOKUSHUBILA KAIJANANTE NI MOJA YA MATUKIO YALIYOFANA SANA OKTOBA 2013

 Denis na Kokushubila wakifunga ndoa kanisani Oktoba 12, 2013 katika kanisa la KKKT Tabata, ambayo ilifuatiwa na sherehe ya Harusi katika ukumbi wa Best Choice Tabata Aroma jijini Dar es Salaam.
 
 Wakisikiliza neno
 Wageni wakiingia ukumbini
 Bwana na Bibi Harusi ukumbini
 
 Mama na baba wa Bw. Harusi Mr& Mrs Mwanguo

Baba na mama wa Bi. Harusi Mr & Mrs Kaijanante
 Babu upande wa familia ya Denis akifurahia kupata mjukuu mwingine
 Kushoto ni mama wa Bibi Harusi na kulia ni mama wa Bw.Harusi wakiwa na watoto wao wapendwa
Kaka yake Bibi Harusi, Shumbusho Kaijanante akiwa na Bestman pamoja na dada zake, nyuma ni Redemptah, aliyekuwa Matron, ambaye pia ni dada yake Kokushubila.
 Meza kuu ya wazazi upande wa Bibi Harusi
 Dada zake Bibi  Harusi, Bi.Abela na Bi.Stephy Koku Semugabo
Furaha na shangwe kwa wageni waalikwa ndugu na jamaa
 
 Ndugu na marafiki wa karibu waliosoma na Bibi Harusi (Mates) pamoja na watoto maarufu kama malaika wa shughuri
 'Ladies Mates' wa Kokushubila
 Wapambe wa ukweli, ndugu na marafiki, wakiingia ukumbini, wao walitumia jina la jumla kama "Mates"
 Hapana chezeya wewe!
 Wawili zamu kwa zamu

 Twende kazi...!

 Haya sasa...!
 Shangwe shangweni, zawadi zawadini......!

 Ndivyo Kamera ya Sony Cyber-Shot DSC-H9 ilivyomnasa huyu mdau Clarence...akiyarudi na binamu yake Stephy Koku, kushoto kwake ni mama yake mzazi na kulia kwake ni mama yake mdogo, ambao wote ni shangazi zake Bibi Harusi. Kokushubila anashuhudia tukio hilo.

KAMATI:  Hivi ndivyo mambo yalivyokuwa


Semadat inakutakia Novemba njema.

No comments:

Post a Comment