UA-45153891-1

Sunday, October 27, 2013

WEMA SEPETU AFIWA NA BABA YAKE MZAZI BALOZI ISAAC ABRAHAM SEPETU

Balozi Abraham Isaac Sepetu amefariki dunia mapema leo akiwa katika hospitali ya TMJ alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa Kisukari na kiharusi alioupata hivi karibuni akiwa mjini Zanzibar. Balozi Sepetu, ambaye pia ni baba mzazi wa Miss Tanzania 2006, Wema Isaac Sepetu, hadi anapatwa na ugonjwa na hatimaye mauti, alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Uwekezaji wa Vitega Uchumi Zanzibar.

Wema Sepetu akiwa na wazazi wake enzi za uhai wa baba yake
Alichokiandika Wema Sepetu kwenye mtandao wa kijamii wa  Instagram  baba yake alipokuwa amelazwa Hospitali. Kwenye picha ni mama yake mzazi na baba yake wakiwa hospitalini

No comments:

Post a Comment