UA-45153891-1

Sunday, October 27, 2013

WANAFUNZI WA BARBRO JOHANSSON GIRLS WAKUTANA NA DIAMOND MLIMANI CITY, SAHIHI ZAMIMINIKA KWENYE SALE ZA SHULE

Wakiwa  kwenye duka la nguo ndani ya jengo hilo la biashara,  wakakutana na mwanamuziki Diamond akifanya manunuzi ya hapa na pale
  
Picha zikaanza kupigwa
"Hii kama vipi tutaipamba bwenini..........."
Hapa Design kama Ngololo inachezwa kimtindo
"Sign...koleza wino isifutike hata nikifua........."

No comments:

Post a Comment