UA-45153891-1

Friday, October 25, 2013

TAZAMA HII RAMANI - KUTOKA SHEKILANGO MPAKA BAMAGA KUNA 'BAR' 260..!


Hii ni barabara ya Shekilango inayopita eneo la Sinza jijini Dar es salaam.

Ni taarifa zilizosikika kutoka chanzo cha habari cha hapa nchini Tanzania wakati akizungumza msemaji wa Taasisi ya kijamii ya kupambana na tatizo la utumiaji wa vilevi kwa wanafunzi.

Siku za nyuma, gazeti la The African lilifanya utafiti na kubaini kwamba eneo la Sinza ndilo linaloongoza kwa kuwa na 'Bar' nyingi zaidi nchini Tanzania kwa kipimo cha Bar per unit Square KM.

No comments:

Post a Comment