UA-45153891-1

Saturday, October 12, 2013

MSHINDI WA BIG BROTHER AFRICA (BBA) DILLISH MATTHEWS ALIPOKUWA MDOGO


 



Oktoba 11, 2013 ilikuwa siku ya kimataifa ya mtoto  wa kike ambapo mataifa yote hutumia siku  hiyo kutangaza na kuhamasisha haki za watoto wa kike na kutokomeza ubaguzi wa kiuchumi, kijamii na kisiasa.  Taifa lolote linaweza kuendelea kama mtoto wa kike atapata nafasi ya kushiriki kwenye nyanja zote.

Masaa machache kabla ya siku hiyo, kaimu barozi wa Marekani nchini Tanzania ametoa wito kwa watanzania kila mmoja achague mtoto mmoja wa kike atakayemsaidia ili afikie upeo wa uwezo wake kwa kuongea nae, kushirikiana nae na kutambua vikwazo alivyonavyo. Aliendelea kusisitiza kwamba, mtoto wa kike anapoendelea, taifa zima linaendelea.

No comments:

Post a Comment