UA-45153891-1

Friday, October 18, 2013

JARIDA JIPYA LA VIBE LATOA FULSA KWA WANAFUNZI WA VYUO


Ukurasa wa  juu (Front page) wa Jarida la Vibe

Jarida jipya la Vibe ambalo limeanza kutoka mwezi huu, yaani October 2013 limewaomba wanafunzi wa vyuo wajitokeze kuwa mabalozi wake "Ambassadors".

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Vibe amesema Wanafunzi watakaopata nafasi hizo watanufaika kwa kupata uzoefu wa kazi hasa katika tasnia za Masoko na Habari na pia watapewa barua za utambuzi wa utendaji kazi. Pia amesema, watasaidiwa kupata kazi hasa katika makampuni ambayo Vibe inafanya nayo kazi za Masoko.

Kwa maelezo zaidi tembelea: vibe.co.tz. Pia unaweza kuwatumia email: info@vibe.co.tz.

No comments:

Post a Comment