UA-45153891-1

Monday, October 7, 2013

2FACE IDIBIA NA ANNIE, NAMELESS NA WAHU, NDOA ZA WASANII ZINAZOUENZI UTAMADUNI WA KIAFRIKA

2Face na Annie wakati wa harusi yao


Ni miongoni mwa familia za wasanii maarufu barani Afrika. Staa wa wimbo wa "African queen" 2Face Idibia wa Nigeria, alifunga ndoa na muigizaji wa Nollywood Annie Macaulay  Mei 2, 2012 na kisha kufanya harusi ya kiutamaduni iliyofanyika kijijini kwao Eket, Machi 8, 2013,  ikihusisha mavazi, vyakula na burudani za utamaduni wa asili yake.

 Nameless na Wahu


Nameless ambaye  ni mwanamuziki wa Kenya aliyetamba sana na wimbo wa "Nasinzia", pia anautangaza vema utamaduni wa Afrika, yeye na mke wake Wahu ambaye pia ni mwanamuziki na mwanamitindo.

No comments:

Post a Comment