UA-45153891-1

Saturday, October 19, 2013

UMESIKIA TANGAZO MOJA, SAUTI YA MTOTO AKISEMA "BABA TUCHEZE BAISHOO"? NI HUYU HAPA!



Ni mtoto wa Msanii wa Bongo Flava D-KNOB, anayeitwa Vivica. Aliyembeba ndiye baba yake ambaye alitamba na wimbo wa 'Bad Man' ambao alimshirikisha Carnibal wa nchini Kenya. Nyimbo zingine ambazo mistali ya D-Knob ilisikika ni pamoja na 'Niwe na wewe', 'Elimu mtaani.com' na 'Sauti ya gharama'.

No comments:

Post a Comment