UA-45153891-1

Tuesday, October 22, 2013

KILA LA KHERI DIAMOND, NAY WA MITEGO, OMMY DIMPOZ, LADY JAYDEE NA RICH MAVOKO


Mastaa wa Bongo flava Diamond, Nay wa mitego, Ommy Dimpoz, Lady Jaydee na Rich Mavoko, wanachuana kwenye kipengele  cha msanii bora wa Tanzania 'Best Artist Tanzania' katika tuzo za Nzumari za nchini Kenya ambazo zitafanyika Novemba 23, 2013.

Nay wa mitego na  Ommy Dimpoz wameingia katika vipengele viwili ambapo kipengele kingine walichoingia ni wimbo bora wa Afrika Mashariki 'Best Song East Africa'.Katika kipengele hicho, wimbo wa 'Muziki gani' wa Nay wa mitego aliomshirikisha Diamond unachuana na  'Tupogo' wa Ommy Dimpoz, 'Badilisha' wa Jose Chameleone wa Uganda na 'Mobimba' wa P-Unit wa nchini Kenya.


 Best Artist Tanzania
Nay wa mitego
Diamond
Ommy Dimpoz
Lady jaydee
Rich Mavoko

Best Song East Africa
Muziki gani-Nay wa mitego ft Diamond
Badilisha- Jose Chameleone
Mobimba- P-Unit
Tupogo-Ommy Dimpoz

No comments:

Post a Comment