UA-45153891-1

Sunday, October 27, 2013

BABY MADAHA KUZINDUA PERFUME YAKE NCHINI TANZANIA

Baby Madaha

Msanii wa Bongo Fleva Baby Madaha ambaye miezi michache iliyopita alikula mkataba mnono wa  Cand & candy records nchini Kenya, anakuja kuzindua Perfume yake  hapa nchini Tanzania.Alisema kwamba ameshazindua hiyo bidhaa yake jijini Nairobi na sasa anakuja kufanya hivyo nyumbani.

No comments:

Post a Comment