UA-45153891-1

Wednesday, November 20, 2013

HUYU NDIYE BABA WA MAPACHA WA P-SQUARE

Kutoka kulia ni Baba mzazi wa Peter na Paul, Mzee Okoye, katikati ni Bilionea maarufu wa nchini Nigeria anayeitwa Aliko Dangote ambaye alikuwepo kwenye harusi ya Peter, kushoto ni Peter ambaye ndiye aliweka picha hii kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii baada ya harusi yake.

No comments:

Post a Comment