UA-45153891-1

Sunday, November 24, 2013

P-SQUARE, VODACOM, EATV/EA-RADIO NA MATUKIO KATIKA PICHA

 P-Square wakiwa Tanzania , kwenye picha ya pamoja  kutoka kushoto ni Mkuu wa kitengo cha masoko na mawasiliano wa Vodacom  Kelvin Twissa, Paul na Peter,  Mkuu wa East Africa Radio Nasser Kingo na msanii wa Bongo Flava Ben Paul.

Mapacha wa P-Square, kushoto ni Peter Okoye, kulia ni Paul Okoye  na katikati ni Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule wakicheza na watoto wa shule maalum ya msingi ya Msimbazi walipotoa msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kibinadamu

No comments:

Post a Comment