UA-45153891-1

Wednesday, September 4, 2013

DIAMOND ADAIWA KUUVUTA KWAKE WIMBO WA DYNA NYANGE

Kufuatia kutoka kwa ngoma mpya ya Diamond Platnumz inayoitwa "Number One"ambayo gharama ya video yake inakaribia shilingi za kitanzania milioni 50, mwanadada aliyeimba wimbo uliopata kusumbua siku za nyuma wa Nivute kwako, Dyna Nyange kaibuka na kudai kwamba mdundo wa ngoma hii ya Diamond ulikuwa wakwake na ulikuwa ni kwa ajiri ya wimbo ambao alikuwa amshirikishe msanii huyo anayejulikana kama Raisi wa wasafi.

Dyna Nyange
Diamond Platnumz
Mtayarishaji wa wimbo-Sheddy Clever

No comments:

Post a Comment