UA-45153891-1

Thursday, September 26, 2013

PETER MSECHU AWAFUTA MACHOZI WANANCHI WA KENYA


Peter Msechu

Msanii wa Bongo Flava Peter Msechu, ametunga na kurekodi wimbo unaoitwa KENYA TUTADUMU, kwa ajiri ya kuwafariji wanananchi wa Kenya kufuatia tukio la ugaidi lililofanyika nchini humo katika jengo la biashara la Westgate. Amesema nchi ya Kenya ina mchango mkubwa kwake yeye mpaka alipofikia na ameguswa sana hasa ikizingatiwa kwamba Kenya ni nchi na iko kwenye muungano wa Afrika Mashariki sawa na nchi yake ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment