UA-45153891-1

Thursday, January 23, 2014

DIAMOND KUDONDOKA JIJINI NAIROBI KWA AJILI YA PARTY


"After shutting down Nairobi in August last year, Bongo’s prince Diamond Platnumz is coming  back to the country!". Mdivyo ulivyoandika mtandao unaoitwa 'Ghafra' wa nchini Kenya. Diamond yuko nchini humo siyo kwa sababu za kibiashara bali kwa ajili ya 'Party' ambayo haikujulikana inahusu nini. Pia mtandao huo umempa shavu kubwa Diamond kwamba ni msanii mkubwa  na msanii pekee kutoka Afrika Mashariki ambaye alialikwa kwenye harusi ya Peter wa P-Square nchini Nigeria.

Pia Diamond mwenyewe alizungumzia safari hiyo kwenye mitandao ya kijamii na kuweka picha inayomuonesha akiwa maeneo ya uwanja wa ndege kama inavyoonekana hapo juu.


No comments:

Post a Comment