UA-45153891-1

Monday, January 20, 2014

"SINGIDA INAPAA" ASEMA MOHAMMED DEWJI


Mbunge wa Singida ambayo pia inajulikana kama 'Singapo' ambaye pia ni mjasiliamali Bilionea Mhe. Mohammed Dewji 'MO'.Amesema singida inapaa baada ya Mhe. Lazaro Nyalandu kuteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na utalii. Amesema hivyo huku akimpongeza Waziri huyo mpya kupitia mtandao wa Twitter. Hapo hapo amempongeza Shemeji yake Faraja Nyalandu ambaye ni mke wa Mheshimiwa huyo aliyekuwa Naibu waziri kabla ya uteuzi huo mpya.

No comments:

Post a Comment