UA-45153891-1

Saturday, January 25, 2014

LOVENESS LOVE "DIVA" ASHUKURU KWA LUGHA YA KIBANTU




Mtangazaji maarufu wa kipindi cha Ala za roho cha Clouds FM ambaye inasemekana mzazi wake mmoja ana asili ya kanda ya ziwa na mwingine mkoani Tanga, aliandika kupitia mtandao wa Twitter ambapo ni kama alikuwa akimjibu shabiki wake aliyesomeka jina Gregory juu ya lugha hasiyoielewa na ambayo hategemei kujaribu kujifunza. Hata hivyo mwishoni alimalizia kwa kuandika maneno ya lugha hiyohiyo ambayo ni moja ya lugha za kibantu zinazotumika hapa nchini Tanzania.

 Maneno aliyoyaandika ni kwa ajili ya kushukuru, yaani "ahsante sana". Neno "Ahsante" kwa lugha hiyo limekuwa likitumiwa sana na mchekeshaji wa kundi la 'Original Comedy' Mjuni Silvery 'Mpoki' kupitia kipindi cha Televisheni. 

No comments:

Post a Comment