UA-45153891-1

Tuesday, January 21, 2014

JACQUELINE PATRICK, AGNES GERALD ‘MASOGANGE’ MELISA EDWARD NA WENGINE BADO NI ROLE MODELS WA MABINTI WENGI WA SASA

Jacqueline Patrick

"Tukianzia urembo tu they got a gwan,  vipaji vyao navyo tu they got a gwan, mbali na mabaya wayafanyayo, nabaki kusema tu they got a gwan". Pengine mistari hii ingeweza kupendekezwa iwe 'remix' ya wimbo wa'She got a gwan' kama msanii wa wimbo huu angekuwa bado yuko hai au pia mwingine yeyote anaweza kushuka nayo. Lakini lengo hasa ni kusema hivi:

Mastaa wa kike ambao mpaka sasa wamehusishwa na tuhuma za usafirishaji wa madawa ya kulevya  ni Jacqueline Patrick (alikamatwa Macau-China), Saada Kilongo (JNIA-Dar), Agnes Gerald  ‘Masogange (Afrika Kusini) na Melisa Edward (Afrika Kusini). Pia yumo Mbongo aliyenaswa Misri aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma huku Sandra Khan ‘Binti Kiziwi’ akitumikia kifungo cha miaka mitano China kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Global Publishers.

Hata hivyo,kwa wale dada zetu wanaowatazama hao kama role models wanaombwa wachukue yale mazuri hasa juu ya kazi zao za sanaa na kuyaacha mabaya na ambayo ni kinyume na sheria. For the love of entertainment industry.

No comments:

Post a Comment