UA-45153891-1

Wednesday, January 22, 2014

NANCY SUMARI NA "NYOTA YAKO", FARAJA NYALANDU NA "UNAWEZA" NI MFANO WA KUIGWA

Warembo hawa wameshatoa vitabu na wanaendelea kuandika vingine. Nancy Sumari ambaye alikuwa Miss Tanzania 2005 alizindua kitabu cha watoto kinachoitwa 'NYOTA YAKO' mwaka 2013.

 Leo tarehe 22 Januari 2014, Faraja Nyalandu nae amezindua kitabu chake kwa ajili ya  wanafunzi kinachoitwa 'UNAWEZA' ambacho kinatoa mbinu kumi za mwanafunzi kumudu masomo.

Faraja Kotta Nyalandu akizindua  kitabu chake kinachoitwa  'Unaweza' Januari 22, 2014
 Faraja akiwa na Nancy wakati wa uzinduzi wa kitabu chake
Nancy Sumari alipokuwa akizindua  kitabu chake kinachoitwa  'Nyota yako' Machi 2013

No comments:

Post a Comment