UA-45153891-1

Friday, January 24, 2014

KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST WAKANUSHA JUU YA TAARIFA KWAMBA WATAFUNGA NDOA PARIS

Mwanamuziki Kanye West na mchumba wake mwanamitindo ambaye pia ni muimbaji Kim Kardashian, wako ndani ya jijini linalosemekana kuwa la starehe kushinda yote barani Ulaya Paris kwa ajili ya wiki ya mitindo, japo taarifa kutoka kwa watu na vyanzo mbalimbali vya habari zimekuwa zikiripoti kwamba watafunga ndoa huko. 

Hata hivyo wamesema kwamba wamejaribu kuangalia sehemu mbalimbali zinazoweza kufaa kwa ajili ya harusi yao kama vile hotel kali zinazosumbua pande hizo. Waliipenda sana 'Palace of Versailles' lakini bado hawajaamua kufanyia harusi yao huko.

No comments:

Post a Comment