UA-45153891-1

Monday, January 27, 2014

KELLY ROWLAND KUTUA NCHINI NIGERIA BAADA YA SIKU YA 'VELENTINE'

 Star na mmoja  wa waliounda kundi la Destiny's child Kelly Rowland atakuwa live Lagos Nigeria tarehe 15 Februari kwenye tamasha la mitindo. Wanamuziki na watu wengine mashuhuri katika sanaa wamekuwa wakipata mialiko mbalimbali nchini humo kwa ajili ya shughuri za maonyesho ya mitindo na matamasha mengine ya burudani. Kim Kardashian alikuwa huko mwaka jana kwa ajili ya shughuri kama hiyo.

No comments:

Post a Comment