UA-45153891-1

Sunday, January 19, 2014

MSANII ALIYECHORA PICHA HII ALILENGA KUMCHORA MHESHIMIWA DR. ASHA ROSE MIGIRO?!!!


Katika bofyabofya za hapa na pale kwenye mitandao ya kijamii, muda mfupi baada ya mawaziri na manaibu mawaziri wapya walioteuliwa kutangazwa semadat ikakutana na "tweet" yenye picha, inayosema "Waziri mpya wa Katiba na Sheria ni Dr. Asha Rose Migiro".Baadhi ya watu waliizungumzia picha hiyo ikiwa ni pamoja na Mbunge wa jimbo la Kawe Mhe. Halima Mdee.  Inasemekana picha hiyo iko pande za Rock City yaani jijini Mwanza.

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dr Asha Rose Migiro

No comments:

Post a Comment