UA-45153891-1

Thursday, January 16, 2014

KUNA NINI KATI YA 'J'ODIE WA KUCH KUCH(OH BABY)' NA WAHU WA 'SWEET LOVE'?


J'odie 

1.Wote ni  wanadada ambao sio tu ni waafrika lakini pia wanaoupenda uafrika, mmoja akiwa mnigeria na mwingine mkenya.

2. Wote wameimba nyimbo kwa kuwaimbia watoto, ukisikiliza nyimbo hizo kwa mara ya kwanza kama hujayanyaka mashairi vizuri utazani ni za mapenzi kumbe ni vionjo tu na ubunifu wa kuteka hisia za watu.

3.Wote wamepiga kitabu ambapo huyu J'odie wa 'kuch kuch' ana digrii ya Mawasiliano ya umma(Mass Communication) kutoka chuo kikuu cha Lagos na vyeti kadhaa ikiwa pamoja na cheti cha  utawala wa ujasiliamali na cheti cha uongozi, wakati Wahu wa 'sweet love' ana digrii ya Hisabati (Mathematics) kutoka chuo kikuu cha Nairobi na masters katika masuala ya kijamii.

Wahu

2 comments: