UA-45153891-1

Monday, January 27, 2014

MZEE DUDE WA FUTUHI AFARIKI DUNIA


Msanii wa kundi la maigizo na vichekesho  la Futuhi, Mzee Dude amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando iliyopo jijini Mwanza. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Amen!

No comments:

Post a Comment