UA-45153891-1

Wednesday, March 26, 2014

BONGO QUEEN LEO KATIKA SEMADAT


Leo tuko na mwanadada Wastara Juma, ni muigizaji wa Bongo Movie anayeendelea kufanya vizuri katika tasnia hiyo pamoja na changamoto mbalimbali alizokutana nazo ikiwa ni pamoja na kuuguliwa na kuondokewa na mumewe marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’ . Anajiamini na anaendelea kulisukuma gurudumu la sanaa vilivyo.

No comments:

Post a Comment