UA-45153891-1

Tuesday, March 11, 2014

HUWEZI KUIPENDA AFRIKA KAMA HUJAIPENDA TANZANIA NA HUWEZI KUIPENDA TANZANIA KAMA HUJAPENDA CHIMBUKO LAKO NDANI YA TANZANIA

Semadat  inawapa tano wote wanaokumbuka walikotoka ikiwa pamoja na wale wasanii wa Bongo Flava na Hip hop wanaoipa mashavu mikoa yao. Kulia na Izzo Business kutoka Mbeya ambaye siku chache zilizopita aliachia wimbo unaoitwa "TUMMOGHELE". Wapo wengine ambao wanatangaza sana majina ya mikoa yao akiwemo, Fid Q, Afande Sele, Joh Makini na wengine. Sanaa inaambatana na uzalendo na uzalendo una asili yake.

No comments:

Post a Comment