UA-45153891-1

Friday, March 21, 2014

SIKU YA USHAIRI ULIMWENGUNI ‘WORLD POETRY DAY’

Mrisho Mpoto: Mmoja wa watunzi maarufu wa mashairi  nchini Tanzania

Machi 21 ni siku ambayo ilitambuliwa rasmi na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni ‘UNESCO’ kuanzia mwaka 1999, kama siku ya Ushairi ulimwenguni. Umuhimu wa siku hii ni kuhamasisha usomaji, uandishi, uchapishaji na kufundisha  ushairi ulimwenguni. Semadat inakutakieni heri ya siku ya ushairi duniani.

No comments:

Post a Comment