UA-45153891-1

Thursday, March 20, 2014

HARUSI YA PAUL WA P-SQUARE NA ANITA BADO SIKU MBILI TU!

Harusi ya kiasili ya mwanamuziki pacha wa kundi la P-Square Paul Okoye na mchumba wake Anita Isama ambayo itafanyika mwezi huu pande za Port Harcourt nchini Nigeria, imebakiza siku mbili tu. Harusi hiyo itafanyika Jumamosi Machi 22, 2014. Wawili hao wamekuwa na maandalizi makubwa juu ya harusi hiyo na wanafamilia wao walishaanza muda mrefu kusambaza kadi za mialiko.

"Nimehamua, nimekwisha iandaa akili yangu, sasa unakaribia muda wa mtu kutulia", Ndivyo Paul alivyoandika kwenye akaunti yake ya mtandao wa Instagram. Hizi ni baadhi ya picha za wawili hao wakati wakisubiri kwa hamu harusi hiyo.











No comments:

Post a Comment