UA-45153891-1

Tuesday, March 11, 2014

CHRISTIANO RONALDO ATANGAZWA MWANASOKA TAJIRI KULIKO WOTE DUNIANI (€148M ), MESSI ANAFUATA (€146M)


Jana Machi 10, 2014 tovuti maarufu ya soka inayojulikana kama Goal.com, imetoa majina ya wacheza soka matajiri duniani ambapo mshambuliaji wa Ureno anayechezea timu ya Real Madrid , Christiano Ronaldo ambaye pia ni mwanasoka bora wa dunia kwa sasa, ndiye tajiri kuliko wote akiwa na utajiri wa €148million, Messi ni wa pili akiwa na €146million na watatu ni Etoo akiwa na €85million. Hii haihusishi wachezaji waliostaafu soka. Hawa ndiyo wanasoka 10 wa kwanza kwa utajiri duniani.




No comments:

Post a Comment