UA-45153891-1

Wednesday, February 26, 2014

'LIPSTICK' NA 'LIPGLOSS' ALIZOZINDUA MSHINDI WA BIG BROTHER 2013 DILLISH MATHEWS


Mshindi wa Big Brother 2013 Dillish Mathews, anaendelea kutumia jina lake kubuni bidhaa mbalimbali ambapo siku chache zilizopita ndani ya mwezi huu wa Februari 20, 2014, alizindua bidhaa za urembo ikiwa pamoja na 'Lipstick' na 'Lipgloss' .Wengi wamekuwa wakisuburi ni jambo gani litafuata kuhusu Dillish ikiwa ni muda mfupi sasa tangu aachane na mpenzi wake Stephen kwa sababu anategemea kupata mtoto kutoka kwa mwanamke mwingine.  

Mwanadada huyo ambaye pia siku chache zilizopita alikuwa nchini Nigeria kwenye maandalizi ya filamu, alizindua vipodozi hivyo ndani ya jiji la Windhoek nchini Namibia. Hizi ni baadhi ya aina za bidhaa zake alizozindua kama zinavyoonekana.


No comments:

Post a Comment