UA-45153891-1

Thursday, February 13, 2014

NANCY SUMARI AFANYIWA USAILI NA TAASISI YA KIMATAIFA YA 'ONE' KUPITIA TOVUTI YA ONE.ORG



"So excited to have been featured on http://ONE.org  recently... Check out my interview here!". Ameandika Nancy Sumari kupitia akaunti yake ya Twitter leo February 13. ONE ni taasisi ya kimataifa inayojihusisha na masuala ya kupambana na umasikini duniani kote yenye washiriki zaidi milioni 3 kama mawakala  wanaopambana na umasikini uliopitiliza  na magonjwa yanayozuilika 'Preventable disease'  hasa barani Afrika. Nancy Sumari ambaye alkuwa Miss World Afrika 2005, amepata fursa ya kuzungumza juu ya harakati zake kupitia tovuti ya taasisi hiyo inayoitwa one.org.  

No comments:

Post a Comment