UA-45153891-1

Thursday, February 20, 2014

MAN WALTER, 20 PERCENT NA SAKATA LA WIMBO WA SUBIRA



Man Walter (Kushoto)
 
Mtayarishaji wa muziki hapa nchini Tanzania Man Walter, amesema hana tatizo wala ugomvi na msanii 20 Percent japo ameshangazwa na kitendo cha msanii huyo kurekodi wimbo wa 'Subira' katika studio nyingine bila taarifa  mbali na kwamba yeye ndiye alikuwa tayari ametengeneza 'Demo' ya wimbo huo. Wawili hao wanafahamika kama washirika wazuri ambao wamefanya kazi nyingi wakiwa pamoja kwa muda mrefu.

No comments:

Post a Comment