UA-45153891-1

Thursday, February 13, 2014

BILA SHAKA ULISHAMSIKIA MTU ALIYEITWA 'CHARLES DARWIN'


Leo February 12, ndiyo tarehe aliyozaliwa Mwanasayansi wa nchini Uingereza 'Charles Darwin'. Alifahamika kama Baba wa Sayansi ya hatua za mabadiliko ya viumbe hai na visivyo hai, ambayo huchukua miaka mingi sana 'Evolution Science'. Kwa mfano ukitaka kufahamu miamba inatokana na nini, hatua za  mabadiliko ya Binadamu na mengine  mengi yanayofanana na hayo ambayo yameandikwa kwenye vitabu.

Charles Darwin alizaliwa February 12, 1809 na kufariki Dunia  April 19,  1882.

No comments:

Post a Comment