UA-45153891-1

Thursday, February 20, 2014

UHUSIANO WA LINEX NA MASOGANGE 'BLOGGERS' WAOMBWA KUPATA UHAKIKA WA HABARI


Mwanamuziki wa Bongo Flava Linex Sunday 'Afande Mjeda' ametoa malalamiko yake kwa 'Bloggers' walioandika kwamba ana uhusiano wa kimapenzi  na muigizaji maarufu wa Video za muziki hapa nchini Agnes Gerald 'Masogange'. Linex amesema hakuna kinachoendela kati yao zaidi ya ukaribu unaotokana  na uhusiano wa kikazi hasa ikizingatiwa kwamba mwanadada huyo anafanya kazi na wasanii wa muziki. Pia amewaomba waandishi hao wa magazeti tanzu kupata uhakika kwa kufanya mawasiliano nae kabla halijatokea jambo kama hilo linalomuhusu.

No comments:

Post a Comment