UA-45153891-1

Friday, February 21, 2014

RAIS ROBERT MUGABE ATIMIZA MIAKA 90 LEO...!

Rais Robert Mugabe

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ambaye alizaliwa February 21, 1924 ametimiza miaka 90 leo February 21, 2014. Kabla ya uongozi, baada ya kumaliza masomo yake aliajiriwa kama mkufunzi katika chuo cha ualimu cha Chalimbana. Ni watatu kati ya watoto sita katika familia yao na kaka zake wawili wakubwa walifariki dunia akiwa mdogo. Rais Mugabe ameiongoza nchi yake kwa miaka 33 mpaka sasa. HAPPY BIRTHDAY ROBERT MUGABE.

No comments:

Post a Comment