UA-45153891-1

Thursday, February 20, 2014

JOSE CHAMELEONE, WYRE SAMBAMBA NA JAY-Z NA KANYE WEST KWENYE 'TUZO ZA WORLD MUSIC'

Jose Chameleone

Wanamuziki wawili wa Afrika Mashariki, Wyre wa nchini Kenya na Jose Chameleone, wameingia kwenye kinyang'anyilo cha tuzo za World Music kipengele cha Msanii bora wa kiume. Wengine ambao wako kwenye kipengele hicho ni pamoja na Jay-z na Kanye West wote wakitokea nchini Marekani.

 
 Wyre

No comments:

Post a Comment